Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
kama ulivyoeleza awali, zinasaidia kutibu tatizo la liquidity katika bajeti hiyo (kumbuka bajeti nayo inadumu kwa mwaka mmoja tu). In ideal situation, treasury bill zinatakiwa zitumike kama stop gap measure... lakini (sina hakika) nadhani hapa kwetu serikali inaziona hizo kama mwokozi wa muda mrefu na ushahidi wa hilo ni jinis ambavyo tusivyokuwa na mikakati ya maana hasa ya kuongeza makusanyo. Unapouza treasury bills, ina maana unajiongezea mzigo kwa sababu at the end unapaswa kulipa zaidi ya kile ulichopewa. Kwa maana hiyo, serikali inapotoa treasuty bills, inatakiwa kuan na mikakati ya kuhakikisha kuwa itakusanya zaidi ili kufidia hilo pengo la ziada itaaywalipa 'wawekezaji'..Naam, hapa sasa tupo pamoja. lakini swali linakuja kama maturity yake ni after One Year, na Serikali ina Deficit katika bajeti yake iliyopo maana yake ni kuwa bado hazitasaidia kutatua tatizo meanwhile au?