T The onest Member Apr 5, 2012 8 0 Apr 19, 2012 #1 Kwa yoyote anayejua dawa ya red eyes naomba anisaidie sababu inantesa sana
Jeji JF-Expert Member Jun 28, 2011 1,975 371 Apr 19, 2012 #3 osha macho kwa maji safi ya uvuguvugu yaliyo changanywa chumvi kwa mbali.
Rjohn JF-Expert Member Feb 28, 2012 613 128 Apr 20, 2012 #4 Usafi wa macho kwa ujumla uhimarishe zaid kuosha mara kwa mara kwa maji safi ya vugu vugu na sabun unadumu kwa siku 5 had 7 tangu ukupate
Usafi wa macho kwa ujumla uhimarishe zaid kuosha mara kwa mara kwa maji safi ya vugu vugu na sabun unadumu kwa siku 5 had 7 tangu ukupate
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,670 68,630 Apr 20, 2012 #5 Aisee huu ugonjwa bado unaendelea? Usifikiche macho,nawa mikono yako mara kwa mara,nenda baharini kanawe yale maji na yaingie machoni.
Aisee huu ugonjwa bado unaendelea? Usifikiche macho,nawa mikono yako mara kwa mara,nenda baharini kanawe yale maji na yaingie machoni.