Msaada, nimepoteza uwoga, na hali ya kujihurumia mwenyewe

JosephElly

JF-Expert Member
Jun 5, 2012
2,432
1,034
Kwanza mm si mtumiaji wa kilevi aina yeyote. Ila nahisi nimeathirika kisaikolojia.
-Nimekuwa si muoga wa hata yale yanayostahili kuogopwa.
-nimepoteza mpaka hofu ya mungu.
-sina huzuni hata pale inapotakiwa kuwa na huzuni.

nimekuwa nikikabiliana nahali hizi kwa kuigiza uzuni na woga katika sehemu ambazo mwanadamu anastahili kuogopa au kuhuzunika.

tafadhali msaada wa mawazo doctor
 
Kaombewe is all I can say and you're hanging with wrong group hao walevi wenzako wanakupeoteza/
 
Back
Top Bottom