N nnn Member Jun 6, 2011 41 3 Sep 27, 2012 #1 Ndugu wana JF naomba mnijulishe maswali yanayoulizwa na TUME YA AJIRA kwa wale waliowahi fanya nao interview ya utendaji wa kata.Nawasilisha
Ndugu wana JF naomba mnijulishe maswali yanayoulizwa na TUME YA AJIRA kwa wale waliowahi fanya nao interview ya utendaji wa kata.Nawasilisha
M mwinukai JF-Expert Member May 3, 2011 1,447 630 Sep 27, 2012 #2 hapa kazi kweli kweli labda kazi ujue kazi za katibu kata, uongozi na mambo ya katiba as they seem to be current issue
hapa kazi kweli kweli labda kazi ujue kazi za katibu kata, uongozi na mambo ya katiba as they seem to be current issue
SYENDEKE Senior Member Jul 18, 2011 169 26 Sep 28, 2012 #3 nenda kwenye website ya chuo cha serikali za mitaa kuna mwongozo mzima wa hao watumishi i know u got it
nenda kwenye website ya chuo cha serikali za mitaa kuna mwongozo mzima wa hao watumishi i know u got it