komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
Wanajf,
nimeibiwa laptop yangu juzi usiku. Taarifa iko police ila wanashughulikia taratibu wakati kila kitu kiko wazi mpaka namba ya simu ya mwizi ambapo anataka nimtumie laki 5 ktk tigo pesa then anirudishie laptop anomously.
nahitaji kupata details za huyu bwana, mpelelezi wangu wa police anadai itachukua mwezi
kama kuna mwanajf yuko pale Tigo makao makuu au anamfahamu mtu pale au anaweza kunisaidia kupata taarifa hizo naomba msaada wako tafadhali
nimeibiwa laptop yangu juzi usiku. Taarifa iko police ila wanashughulikia taratibu wakati kila kitu kiko wazi mpaka namba ya simu ya mwizi ambapo anataka nimtumie laki 5 ktk tigo pesa then anirudishie laptop anomously.
nahitaji kupata details za huyu bwana, mpelelezi wangu wa police anadai itachukua mwezi
kama kuna mwanajf yuko pale Tigo makao makuu au anamfahamu mtu pale au anaweza kunisaidia kupata taarifa hizo naomba msaada wako tafadhali