Msaada: Nifuate taratibu gani kuanzisha nchi huru kanda ya ziwa?

spencer

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
3,599
3,220
GreatThinkers!

Haya ni mawazo yangu, ndiyo maana si yako. Nipe mawazo yako ili mimi niyachambue.

CCM imeitenga kanda ya ziwa, natamani bora iwe nchi huru. nipeni procedure!

Tunatumika tuu,gw'endakulima na Kagongwa wanakula vumbi la Buzwagi uwekezaji wa viwanda unarundikwa Kibaha.

Kwa nini Dar Cement iwe 14000/= na Geita iwe 18000/= wakati Shinyanga kuna uwezekano wa kuweka kiwanda?

Bora iwe nchi huru, hakuna Chuo kikuu(Public) huku. MAR, MZA, SIMIYU, SHY, GEITA, TABORA hivi inawaingia kichwa kweli kila kitu kiwe kanda ya mashariki?

Ukisikia madini ya dhahabu wanachimba hadi kijijni kwetu G'wendakulima-Buzwagi iko pale, Kakola,Tulawaka,Geita,Mwadui na hata North Mara-Nyamongo

Mawazo yamefikia huko maana naona hawa CCM wana mpango mbaya nadhani hata mnaotoka kanda zingine mtaniambia.

Nipeni taratibu, nimechoka na huu wizi wa kuhamishia utajiri mwambao, aliyewaambia kuwa mkiweka kiwanda Kiabakari(MAR) au Tinde(SHY) kuwa hakitazalisha ni nani?

Nimechoka kukaa na duku duku, kuna kila dalili kuwa Kaliua (TBR) wanalima Tumbaku lakini vijana wa Tabora hata kiwanda hakuna.

Nasema yote haya kwa sababu sioni Tanzania ya wajukuu chini ya CCM ukoo wa McKamba na ******, bora tujitenge!

Niktafakali huku tulivo RELI - VIWANDA-MADINI-USAFIRI WA ANGA-USAFIRI WA ZIWANI-ZAHANATI/HOSPITALI-SHULE/VYUO nk naamini sie hatuko Tz

Nipeni mawazo, Nchi mpya izaliwe. Muone kama hata haitakuwa kama Rwanda.
 
Huwezi kuanzisha nchi ndani ya nchi mpaka uitwe Mwasi kama wale wa Libya, sasa uko tayari kuitwa Mwasi na matokeo yake?
 
Sasa mnanishaurije? Hali ndiyo kama hiyo!

Kwani hakuna njia ya kidemokrasia ili niitumie?
 
GreatThinkers!

Haya ni mawazo yangu, ndiyo maana si yako. Nipe mawazo yako ili mimi niyachambue.

CCM imeitenga kanda ya ziwa, natamani bora iwe nchi huru. nipeni procedure!

Tunatumika tuu,gw'endakulima na Kagongwa wanakula vumbi la Buzwagi uwekezaji wa viwanda unarundikwa Kibaha.

Kwa nini Dar Cement iwe 1400/= na Geita iwe 1800/= wakati Shinyanga kuna uwezekano wa kuweka kiwanda?

Bora iwe nchi huru, hakuna Chuo kikuu(Public) huku. MAR, MZA, SIMIYU, SHY, GEITA, TABORA hivi inawaingia kichwa kweli kila kiwe kanda ya mashariki?

Ukisikia madini ya dhahabu wanachimba hadi kijijni kwetu G'wendakulima-Buzwagi iko pale, Kakola,Tulawaka,Geita,Mwadui na hata North Mara-Nyamongo

Mawazo yamefikia huko maana naona hawa CCM wana mpango mbaya nadhani hata mnaotoka kanda zingine mtaniambia.

Nipeni taratibu, nimechoka na huu wizi wa kuhamishia utajiri mwambao, aliyewaambia kuwa mkiweka kiwanda Kiabakari au Tinde kuwa hakitazalisha ni nani?

Nimechoka kukaa na duku duku, kuna kila dalili kuwa Kaliua (TBR) wanalima Tumbaku lakini vijana wa Tabora hata kiwanda hakuna.

Nasema yote haya kwa sababu sioni Tanzania ya wajukuu chini ya CCM ukoo wa McKamba na ******, bora tujitenge!

Niktafakali huku tulivo RELI - VIWANDA-MADINI-USAFIRI WA ANGA-USAFIRI WA ZIWANI-ZAHANATI/HOSPITALI-SHULE/VYUO nk naamini sie hatuko Tz

Nipeni mawazo, Nchi mpya izaliwe. Muone kama hata haitakuwa kama Rwanda.
hivi hizo bei ni toka enzi za mwalimu ama umekosea?
 
Usiogope Google Msven or P.Kagame watakupa jinsi yakuanzisha nchi mbona kitu rahisi JWTZ wenyewe wako likizo na wengi walikufa na mabomu mbagala na gongolamboto na zaidi mabomu hawana!!!yote yaliteketea zama mwituni hapo kati mitaa yatinde kwenda bulyanulu!!
 
Mnanishauri niingie msituni hapo ni kweli naona nitakuwa kama muasi, watanifanya mbaya nataka taratibu zilizo ndani ya sheria.
au nifungue kesi, Wapi?
 
Katiba yetu inasemaje kuhusu hili?

Je mabadiliko ya katiba yanaweza kuwa tiba na jibu ya hili tatizo.

Nilizaliwa katika kibanda cha nyasi, nimekulia katika nyasi, nilisoma katika mzambarau hadi leo kule kijijini hakuna kitu. madarasa hayajaezekwa wala madawati hakuna.

inaonekana sitaenda mbali maana hata kujenga kijumba kwa wazazi ni shida, Msharaha wangu TGSD laki tatu, kazini natumia nauli 900kila siku. matumizi yangu hayanipi salio kabisa.

Bado ni tatizo, wazazi nawahurumia pia.
 
GreatThinkers!

Haya ni mawazo yangu, ndiyo maana si yako. Nipe mawazo yako ili mimi niyachambue.

CCM imeitenga kanda ya ziwa, natamani bora iwe nchi huru. nipeni procedure!

Tunatumika tuu,gw'endakulima na Kagongwa wanakula vumbi la Buzwagi uwekezaji wa viwanda unarundikwa Kibaha.

Kwa nini Dar Cement iwe 14000/= na Geita iwe 18000/= wakati Shinyanga kuna uwezekano wa kuweka kiwanda?

Bora iwe nchi huru, hakuna Chuo kikuu(Public) huku. MAR, MZA, SIMIYU, SHY, GEITA, TABORA hivi inawaingia kichwa kweli kila kitu kiwe kanda ya mashariki?

Ukisikia madini ya dhahabu wanachimba hadi kijijni kwetu G'wendakulima-Buzwagi iko pale, Kakola,Tulawaka,Geita,Mwadui na hata North Mara-Nyamongo

Mawazo yamefikia huko maana naona hawa CCM wana mpango mbaya nadhani hata mnaotoka kanda zingine mtaniambia.

Nipeni taratibu, nimechoka na huu wizi wa kuhamishia utajiri mwambao, aliyewaambia kuwa mkiweka kiwanda Kiabakari(MAR) au Tinde(SHY) kuwa hakitazalisha ni nani?

Nimechoka kukaa na duku duku, kuna kila dalili kuwa Kaliua (TBR) wanalima Tumbaku lakini vijana wa Tabora hata kiwanda hakuna.

Nasema yote haya kwa sababu sioni Tanzania ya wajukuu chini ya CCM ukoo wa McKamba na ******, bora tujitenge!

Niktafakali huku tulivo RELI - VIWANDA-MADINI-USAFIRI WA ANGA-USAFIRI WA ZIWANI-ZAHANATI/HOSPITALI-SHULE/VYUO nk naamini sie hatuko Tz

Nipeni mawazo, Nchi mpya izaliwe. Muone kama hata haitakuwa kama Rwanda.
tena MARA ndiko alikozaliwa MWL nyerere. Vipi tena? wenyewe mnajisahau mkififika dar mnatafuta kujenga kimara bonyoka,mbezi msakuzi, halafu unalalamika. Turudi makwetu jamani? hata kama kijijini nenda kajenge hukohuko.
 
Na sisi kwetu Tanga tunataka kujitenga na serikali ya Kik wete, haina maana yoyote imeua viwanda vyetu vyote.
 
duh! maneno yako yanatia uchungu sana ukizingatia ni mkanda wa Ziwa, nahisi kutokwa machozi, unayosema ni kweli kabisa, atakayekupinga atakuwa hana uwezo mzuri wa kufikiri, Labda uende UN, Nyerere si ndio alianzia huko kudai uhuru wa Tanganyika? akatoa hotuba na kila kitu.
 
Heshima sana ndugu! Kama unatania au la sijui. Ila tu ujue tupo wengi tunaowaza namna ya kufanya, siku chache zilizopita nikiongea kwa simu na rafiki yangu nikashangaa ananiuliza swali hilo hilo! Naamini kwa sababu tuko watu kadhaa tunaowaza hilo tutapata njia tu.
 
Back
Top Bottom