Msaada: Ni nini kinahitajika kujiunga BAVICHA?

kuku dume

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
414
62
Wakuu nipo Kimara...nahitaji kujiunga na BAVICHA.
Nini kinahitajika?
Niende wapi?
Naomba msaada wenu ndugu zangu. Nchi hii ni yetu...tuijenge SOTE!
 
hauko peke yako mkuu unaetaka jibu la hili swali.. atakaejibu vyema atakuwa ametusaidia wengi
 
inabidi uwe na moyo wa kuandamana,hata kama una kazi ya msingi uiache ukaandamane.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom