Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Mnamo mwezi wa kumi mwaka jana nilipata ajali ambapo niliumia kiasi na kulazwa kwa wiki mbili Hopspitalini, Dreva wa gari alifariki dunia papo hapo, Gari ilikuwa na comprehensive insurance na bima walilipa sambamba na kuchukua gari iliyopata ajali, nilipo fuatilia madai yangu waliniambia nipeleke nyaraka mbali mbali kama vile PF 3, PF 115, PF 90 Na risiti za matibabu.
Baada ya kupeleka nilijibiwa kuwa siwezi kulipwa kwa kuwa dreva alifariki hivyo hakuna wa kumlaumu. Je hii kweli ni haki kwa kampuni hii ya bima ya LION INSURANCE kuninyima haki yangu?
Naomba msaada wajameni
Baada ya kupeleka nilijibiwa kuwa siwezi kulipwa kwa kuwa dreva alifariki hivyo hakuna wa kumlaumu. Je hii kweli ni haki kwa kampuni hii ya bima ya LION INSURANCE kuninyima haki yangu?
Naomba msaada wajameni