Msaada ndugu zanguni

Madikizela

JF-Expert Member
Jul 4, 2009
675
439
Mnamo mwezi wa kumi mwaka jana nilipata ajali ambapo niliumia kiasi na kulazwa kwa wiki mbili Hopspitalini, Dreva wa gari alifariki dunia papo hapo, Gari ilikuwa na comprehensive insurance na bima walilipa sambamba na kuchukua gari iliyopata ajali, nilipo fuatilia madai yangu waliniambia nipeleke nyaraka mbali mbali kama vile PF 3, PF 115, PF 90 Na risiti za matibabu.

Baada ya kupeleka nilijibiwa kuwa siwezi kulipwa kwa kuwa dreva alifariki hivyo hakuna wa kumlaumu. Je hii kweli ni haki kwa kampuni hii ya bima ya LION INSURANCE kuninyima haki yangu?

Naomba msaada wajameni
 
Mnamo mwezi wa kumi mwaka jana nilipata ajali ambapo niliumia kiasi na kulazwa kwa wiki mbili Hopspitalini, Dreva wa gari alifariki dunia papo hapo, Gari ilikuwa na comprehensive insurance na bima walilipa sambamba na kuchukua gari iliyopata ajali, nilipo fuatilia madai yangu waliniambia nipeleke nyaraka mbali mbali kama vile PF 3, PF 115, PF 90 Na risiti za matibabu.

Baada ya kupeleka nilijibiwa kuwa siwezi kulipwa kwa kuwa dreva alifariki hivyo hakuna wa kumlaumu. Je hii kweli ni haki kwa kampuni hii ya bima ya LION INSURANCE kuninyima haki yangu?

Naomba msaada wajameni


Siyo haki,nenda mahakamani,mtafute wakili akusaidie.
 
Usiulize haki huko, hauwezi ukaipata. Haki inaulizwa mahakamani. Katika sheria za madai deni halifi na mdaiwa. nitafute nikuonyeshe wanasheria watakao kusaidia mara moja kwa gharama nafuu namba ni 0654649728. Kama umepata kwingine pia songa mbele mpaka kieleweke.
 
Usiulize haki huko, hauwezi ukaipata. Haki inaulizwa mahakamani. Katika sheria za madai deni halifi na mdaiwa. nitafute nikuonyeshe wanasheria watakao kusaidia mara moja kwa gharama nafuu namba ni 0654649728. Kama umepata kwingine pia songa mbele mpaka kieleweke.

Sawa kabisa. Kwani wewe unaelidai ni ile insurance ya gari na sio insurance ya Dereva.

Una haki kabisa na tafuta haki yako kama walivyokushauri wengine,

Kila la kheir
 
Back
Top Bottom