Nataka kuanza ufugaji wa kuku with low capital

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,519
Salaam wakuu,

Habari zenu? Kwa kifupi nimejichanga visenti kidogo kama Tshs. 300,000/= kwaajili ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji.

Nina uhakika hazitoshi lakini naomba msaada wenu labda nianze na kuku wangapi kutokana na uwezo nilionao na pia mbinu bora ili kuku wangu waweze kuzaliana na kua wengi zaidi.

Nawasilisha wakuu!
 
Mbona inatosha mkuu!tafuta tetea wadogowadogo wa bei ya tshs.8000 kama 30 hivi ukumbuke tetea 10 jogoo mmoja

30 wengi mkuu, kumbuka kuna chakula na hata dawa za kinga

Mfano fanya budget yako 150,000 na chakula na dawa zichangia kama 100,000 na nyingine nunua vifaranga, ni bei rahisi ila hapa tuna chuklia banda unalo au chumba cha kufugia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom