MSAADA - Natafuta fundi mzuri wa Suzuki Swift

Ortega

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
844
209
Waungwa kwanza niwasalimie Asalam aleiukum,

Nimekuwa nikisumbuliwa na gari langu aina ya Suzuki Swift kwa muda mrefu sasa na mafundi wengi wameonekana wababaishaji wamekuwa wanafanya majaribio kwenye mkoko huu, gari imekuwa na miss zisizoisha nadhani itakuwa na tatizo la umeme au mfumo wa upepo umekaa vibaya.

Kwa yeyote anayemjua fundi mzuri wa Suzuki Swift, psee naomba anijulishe namna ya kumpata
 
Mkuu hayo magari yanasumbua sana mafundi, nahisi kama uko dar basi hakuna anayeyaweza labda wachina, watu ninaowafahamu wote wanalia juu ya hayo magari wakidai hakuna fundi mzuri
 
Mkuu hayo magari yanasumbua sana mafundi, nahisi kama uko dar basi hakuna anayeyaweza labda wachina, watu ninaowafahamu wote wanalia juu ya hayo magari wakidai hakuna fundi mzuri

Jamani, muwe mnatazama na mada imeletwa lini mada ina miaka minne nyuma kweli...?

Kwa Dar wapo D.T Dobie mkuu.

Cc Frank jb
 
Back
Top Bottom