Ortega
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 844
- 209
Waungwa kwanza niwasalimie Asalam aleiukum,
Nimekuwa nikisumbuliwa na gari langu aina ya Suzuki Swift kwa muda mrefu sasa na mafundi wengi wameonekana wababaishaji wamekuwa wanafanya majaribio kwenye mkoko huu, gari imekuwa na miss zisizoisha nadhani itakuwa na tatizo la umeme au mfumo wa upepo umekaa vibaya.
Kwa yeyote anayemjua fundi mzuri wa Suzuki Swift, psee naomba anijulishe namna ya kumpata
Nimekuwa nikisumbuliwa na gari langu aina ya Suzuki Swift kwa muda mrefu sasa na mafundi wengi wameonekana wababaishaji wamekuwa wanafanya majaribio kwenye mkoko huu, gari imekuwa na miss zisizoisha nadhani itakuwa na tatizo la umeme au mfumo wa upepo umekaa vibaya.
Kwa yeyote anayemjua fundi mzuri wa Suzuki Swift, psee naomba anijulishe namna ya kumpata