Habari zenu wapendwa katika bwana. Jamani nina shda sana na anointing water kutoka SCOAN, kama yuko mtu ashawahi kwenda kwa T.B Joshua akapewa naomba anisaidie japo few drops I'll mix it with other water. Ninayo mambo mengi magumu ambayo nayapitia katka dunia hii, naaamini nikipata hayo maji shda zangu zote zitakuwa zimefunguliwa. Nisaidieni pease Wanajf wenzangu. Yeyote mwenye nayo naomba aniPM.