mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Wadau naomba msaada wa kurekebisha nat router configuration recently nimeinstall software ya bitcomet kwaajili ya kudown load movies na kwasasa software hii inasifika kwa spidi katika kudownload movies,, ila nikiwa nadownload inaniambia speed may not be very fast check ur nat router configuration na kweli inaweza kuchukua usiku mzima inadownload movie ya mb 600!!Software hii inapatikana kwa urahisi tu ukiingia www.apphit.com.Tafadhali naomba msaada