IT Guru
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 635
- 112
Natumai wote mu wazima wakuu. Kwanza ningependa kuwashukuru wote kwa michango yenu yenye burasa, mbarikiwe sana na muendelee na moyo wa kusaidiana.
Mimi ni kijana ambae nasoma form five kwa sasa na ninategemea kuspecialize kwenye mambo ya computer nifikapo chuo.
Ila hivi vitu viwili 'software engineering' na 'computer programming' huwa vinanichanganya na ninashindwa kujua tofauti yake maana huwa naona kama hivi vitu vyote vinahusu computer programs.
Naomba msaada wenu wakuu nipate fahamu vema tofauti kati ya haya mambo mawili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu na ninawatakia pasaka njema....
Mimi ni kijana ambae nasoma form five kwa sasa na ninategemea kuspecialize kwenye mambo ya computer nifikapo chuo.
Ila hivi vitu viwili 'software engineering' na 'computer programming' huwa vinanichanganya na ninashindwa kujua tofauti yake maana huwa naona kama hivi vitu vyote vinahusu computer programs.
Naomba msaada wenu wakuu nipate fahamu vema tofauti kati ya haya mambo mawili.
Natanguliza shukrani zangu kwenu na ninawatakia pasaka njema....