Naombeni msaada kwa hilo..nawategemeeni wakuu
kuna kitu kinaitwa video card kifaa flan kidogo dogo unanunua then kina cd yenye setup utainstall setupa yake katika pc.
Hiko kifaa kina waya unaoingia kwenye laptop na ports ambazo waya wa king'amuzi utaingia
japo si mtaalamu sana ila i guess itakutoka hela nyengine kama ulonunulia king'amuzi kununua hio video card.