Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Habari zenu jamani
Matokeo ya Form Four yametoka na kwa Mara Nyingine tena Shule za Kata zimeendelea kuliza Watu! Mdogo wangu yamemkuta, ingawa alikuwa na ndoto nyingi lakini matokeo yake yamekuja kivingine kabisa, sasa nataka leo nikirudi home NENO LANGU LA KWANZA KWAKE LIWEZE KUMPA MOYO KWAMBA HATA WANAOANGUKA HUINUKA NA KUJIFUTA VUMBI NA KUWEZA KUONGOZA MBIO
Sasa natafuta maneno Mazuri ya Kumfariji and knowing tha JF ni Kisima Cha Busara nimeamua kuliweka hapa na linaweza kuwasaidia hata na wengine ambao Leo wamepania kwenda kutoa Lawama kwa ndugu/watoto wao ambao hawakufanya Vizuri
Matokeo ya Form Four yametoka na kwa Mara Nyingine tena Shule za Kata zimeendelea kuliza Watu! Mdogo wangu yamemkuta, ingawa alikuwa na ndoto nyingi lakini matokeo yake yamekuja kivingine kabisa, sasa nataka leo nikirudi home NENO LANGU LA KWANZA KWAKE LIWEZE KUMPA MOYO KWAMBA HATA WANAOANGUKA HUINUKA NA KUJIFUTA VUMBI NA KUWEZA KUONGOZA MBIO
Sasa natafuta maneno Mazuri ya Kumfariji and knowing tha JF ni Kisima Cha Busara nimeamua kuliweka hapa na linaweza kuwasaidia hata na wengine ambao Leo wamepania kwenda kutoa Lawama kwa ndugu/watoto wao ambao hawakufanya Vizuri