Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Wakuu, naombeni maujanja ya kuhamisha picha kutoka kwenye "VHS" kwenda kwenye mfumo wa CD. Nisaidieni tafadhali.
hivi nnaweza kupata tv card kwa ajili ya laptopMie desktop yangu ina tv card ambapo ina ports za tv antenna, s-video, na zile za kuchomeka waya wa deki ya vhs/dvd, nnachofanyaga uwa ni kuconnect deck ya vhs then ina play kuna option ya kurekodi tv na vhs
hivi nnaweza kupata tv card kwa ajili ya laptop
Mkuu ungemsaidia bei ya TV Card na wapi ataipata kwa urahisi kama atataka kufanya hivyo pls....Mie desktop yangu ina tv card ambapo ina ports za tv antenna, s-video, na zile za kuchomeka waya wa deki ya vhs/dvd, nnachofanyaga uwa ni kuconnect deck ya vhs then ina play kuna option ya kurekodi tv na vhs
Dada umetisha mpaka bhaaaaaas. Mungu akujaalie maujanja zaidi kwa ajili ya wengine.yap mkuu zinapatikana tena za external ni imara kuliko zile za desktop
View attachment 67858
USB 2.0 TV Box (UK2842)...
Model:UGW-497779
Description: Features: 1. USB2.0 CAPTURE TV-BOX 2. Adapt to portable or desktop computer. 3. Full channel searching and user-defined 200 favorite Programs. 4. Capture high-quality dynamic and static picture, collect picture smoothly. 5. Can be connected with DVD, VIDEO, GAME and CAMERA, ,...
yap mkuu zinapatikana tena za external ni imara kuliko zile za desktop
View attachment 67858
USB 2.0 TV Box (UK2842)...
Model:UGW-497779
Description: Features: 1. USB2.0 CAPTURE TV-BOX 2. Adapt to portable or desktop computer. 3. Full channel searching and user-defined 200 favorite Programs. 4. Capture high-quality dynamic and static picture, collect picture smoothly. 5. Can be connected with DVD, VIDEO, GAME and CAMERA, ,...
Hata mimi namwaminia huyu mwanadada ,naweza sema ni mwanadada pekee nguli wa IT humu anaye toa msaada mkubwa wa kiufundi,wengi wa dada zetu humu ni maarufu kwa kwa kutoa ushauri nasaha kwenye lile jukwaa kule chini kabisa mwishoniDada umetisha mpaka bhaaaaaas. Mungu akujaalie maujanja zaidi kwa ajili ya wengine.
Fatma Bawazir natafta hii k2 ntaipata wap na bei unaweza kuifaham
hii kitu mbona inapatikana mtaa wa mtendeni na morogoro road karibu na stend ya kisutu kuna jamaa anaitwa juma mpijie kwa namba 0713362971 na bei yake ina range kwenye 50,000/= mpaka 55,000/=@nyasiro