dadamkubwa
Senior Member
- Sep 3, 2013
- 115
- 20
Habar zenu wapendwa...!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa namna ya kuandaa pamoja na kuchoma nyama ya ng'ombe, na wastan wa watu wanne.
Asante
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujuzwa namna ya kuandaa pamoja na kuchoma nyama ya ng'ombe, na wastan wa watu wanne.
Asante