Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Respect wakuu, MMP nimekwama sehemu kuhusu haya matangazo ya kazi ya serikali kupitia sekretarieti ya ajira.
Kwenye Genereal wameagiza kuwa Barua zote zitumwe kwa anuani ya Sekretarieti ya Ajira za Umma lkn sina hakika na address ya ndani katika barua yenyewe. In other words wasi wasi wangu ni namna gani watatambua ninaomba kazi ktk Idara au Taasisi ipi ikiwa tangazo moja limebeba mjumuisho wa Idara na Taasisi kadhaa na tumeambiwa tuaddress zote kwa sekretarieti?
Kwenye Genereal wameagiza kuwa Barua zote zitumwe kwa anuani ya Sekretarieti ya Ajira za Umma lkn sina hakika na address ya ndani katika barua yenyewe. In other words wasi wasi wangu ni namna gani watatambua ninaomba kazi ktk Idara au Taasisi ipi ikiwa tangazo moja limebeba mjumuisho wa Idara na Taasisi kadhaa na tumeambiwa tuaddress zote kwa sekretarieti?