Msaada: namna mwanamke anavoshika mimba. Mana nahic nimekana mtoto.

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Feb 2, 2012
474
188
Wataalam wa haya mambo hebu nielimisheni mimba inatungwaje kwa mwanamke mara baada ya kusex nae?? Yaani muda baada ya hedhi yake au kabla.
 
Kujua wakati una mimba


Wanawake wengi hujua wameshika mimba aghalabu wiki 3 baada kushika mimba. Mwili wenyewe utakuonyesha/utakutabiria kama:


  • Hedhi yako itakoma/itakuwa nyepesi
  • Utasikia uchefuchefu/utatapika (ugonjwa wa asubuhi – ‘morning sickness’ – na inaweza kutokea wakati wowote wa siku pia).
  • Matiti yako yataanza kuwasha, kufura au yataanza kuwa makubwa.
  • Chuchu (ncha ya titi) na sehemu zilizokaribiana zitaanza kuwa nyeusi na zizizoweza kuvumilia.
  • Itakubidi kwenda haja ndogo mara kwa mara.
  • Utasikia uchovu
  • Kusokotwa na tumbo

Kama umeona baadhi ya dalili hizo, unaweza kuwa na mimba. Pata jaribio/uchunguzi kipimo cha mimba ili kupata yakini! Unaweza pimwa bure katika kliniki iliyokaribu nawe au ununue kifaa vya kujipmia nyumbani kutoka duka la dawa. Daktari wako anaweza kukupima pia au atakuelekeza kwa mtaalamu kama hauna.

Vipimo vya mimba

Vipimo hivi huchunguza kuwepo kwa Human Cherionic Cronadotropin (HCG) kwa mkoja au damu. HCG wakati mwingine hitwa ‘Pregnancy Hormone’ na huwa kwa mwanamke tu wakati ana mimba. Kuna aina mbili ya vipimo: kipimo cha mkojo na kipimo cha damu.

Kipimo cha Mimba cha Mkojo
Wanawake wengi hutumia kipimo hiki ambacho pia huitwa cha nyumbani (HPT-home pregnancy test) kwa sababu ni rahisi kutumia na bahasa (rahisi kibei) kuna aina nyingi za vipimo hivi. Kwa kimoja, utakwanya mkojo wajo kwa kikombe na kukitumbukiza ‘kijiti’ huko na kwakingine utaweka ‘kijiti’ hicho kwenye viungo vya mkojo. Njia iliyobora ni itakayokuonyesha kiwango cha HCG, hivyo tafuta moja katika kiwango cha hCG kutoka 15 hadi 30. Utasaidiwa na mhudumu wako dukani la dawa au kliniki.

Vifaa hivi hufaa kwa asilimia 97-99 kuyakirisha uwepo wa mimba vinapotumiwa ipasavyo. Hivyo kufuata maagizo ni muhimu. Pia angatia wakati wa kuharibika wa kifaa kwani kifaa kilichoharibika hakitakupatia matokeo unayotarajia.

Kama utapata matokeo yasiyofaa/yasiyo hakika
Kama utajipima/utapimwa bado kidogo*, unaweza kuona kwamba hauna mimba ili hali unayo. Aina nyingi ya vipimo vya nyumbani hukushauri ujipime baada ya siku kadha bila kujali matokeo uliyopata awali. Kama unaendelea kupata matokeo yasiyofaa nab ado unashuku una mimba, ongea na daktari/mkaguzi afya waka.

Kama utapata matokeo yafaayo/yahakika
Kama utapata matokeo ya hakika, fanya miadi na mkaguzi afya wako punde tu. Mkaguzi wa afya yako atayakinisha kama una mimba kupitia kipimo cha damu na ukaguzi mwingine (pelvic exam) na atakwambia chaguzi uliza nazo.

Kipimo cha Damu
Kama wataka kipimo cha damu badala ya kite cha nuymbani, fanya miadi na mkaguzi afya wako/dakatari wako.



 
Heri awe mke wa ndoa akiwa ni kimada tena mwanafunzi...hapo ndipo patamu ndio maana anahaha!!mtazamo tu
 
Mkuu.@[URL="https://www.jamiiforums.com/members/muna hisi shemeji ameshika mimba nini?mbona una wasiwasi?

Alishajifunguaga tayari, nilisexigi nae 10/11/2011 akajifungua 3/7/2011. Asa sielewi ni mwanangu au? Ye anasema wangu.
 
Mkuu.@[URL="https://www.jamiiforums.com/members/muna hisi shemeji ameshika mimba nini?mbona una wasiwasi?

Alishajifunguaga tayari, nilisexigi nae 10/11/2011 akajifungua 3/7/2011. Asa sielewi ni mwanangu au? Ye anasema wangu.


Kwa tarehe hizo mtoto anaweza kuwa wa kwako, ila kama humwamini wa ubani wako, unaweza kujisalimisha kwenye kipimo cha DNA na ukapata uhakika
 
Hapo inategemea kama alisex na mwanaume mwingine kabla yako au la,mchek mtoto km haujafanana naye hata kucha kapime DNA kwa uhakika zaid
 
Back
Top Bottom