Msaada nahitaji wakitaabu.

Nov 28, 2011
20
3
Mimi ni mwanaume,nina warts kwenye maeneo ya pubic hairs na zinaongezeka na kukua baada ya kutumia dawa kama pencil hivi ya kuviunguza, Je dawa yake ni nini kuviondoa kabisa maana sivipendi?.
 
Pole sana mkuu, umeenda hospitali lakini?
Ngoja wadau watakuja kukusaidia!
 
Pole sana mkuu, umeenda hospitali lakini?
Ngoja wadau watakuja kukusaidia!

Ndio nilienda hosptl,nikapewa dawa kama pencil ambayo ilifanikiwa kuviunguza BUT vikachipua vngine kwa kasi na wingi na vinakua daily, Stil nahitaji ushauri wa tiba.
 
Mimi ni mwanaume,nina warts kwenye maeneo ya pubic hairs na zinaongezeka na kukua baada ya kutumia dawa kama pencil hivi ya kuviunguza, Je dawa yake ni nini kuviondoa kabisa maana sivipendi?.

Kwanza ni vizuri ukachunguzwa afya yako vizuri kwa sababu vinahusiana na HIV infection. Pili tiba yake inategemea ni vingi kiasi gani. Inategemea na wingi wake, vyaweza tibika na hiyo caustic pensil, au Podophylline au kama ni vingi sana hufanyiwa cauterization hospitalini.
Kama unatumia caustic pensil, naamini utakuwa umeelekezwa tahadhari ya jinsi ya kutumia. Baada ya kuchukua tahadhari hizo hakikisha ile caustic pensil unaituliza kwa dakika tatu kwa kila kimelea cha warts. Kwa hiyo baada ya kutuliza hiyo caustic pensil kwenye kimelea kimoja unahamisha kwenye kingine nacho unakichoma kwa muda huo mpaka vyote vimeisha. ukifanya hivyo huwa havirudi na vikirudi huwa ni vichache sana ukilinganisha na vya mwanzo, na hivyo ukirudia huwa vinaisha kabisa.
Pili mkague patner wako kwa sababu vinaambukiza, ili nae apate tiba.
 
Kwanza ni vizuri ukachunguzwa afya yako vizuri kwa sababu vinahusiana na HIV infection. Pili tiba yake inategemea ni vingi kiasi gani. Inategemea na wingi wake, vyaweza tibika na hiyo caustic pensil, au Podophylline au kama ni vingi sana hufanyiwa cauterization hospitalini.
Kama unatumia caustic pensil, naamini utakuwa umeelekezwa tahadhari ya jinsi ya kutumia. Baada ya kuchukua tahadhari hizo hakikisha ile caustic pensil unaituliza kwa dakika tatu kwa kila kimelea cha warts. Kwa hiyo baada ya kutuliza hiyo caustic pensil kwenye kimelea kimoja unahamisha kwenye kingine nacho unakichoma kwa muda huo mpaka vyote vimeisha. ukifanya hivyo huwa havirudi na vikirudi huwa ni vichache sana ukilinganisha na vya mwanzo, na hivyo ukirudia huwa vinaisha kabisa.
Pili mkague patner wako kwa sababu vinaambukiza, ili nae apate tiba.
Mbona unamtisha mkuu? Warts inasababishwa na Human Papilloma Virus(HPV) wakati HIV inasababishwa na Human Immunodefficient Virus (HIV).Siyo kila aliye na warts ana HIV. HPV can be prevented by vaccination, gardasil and the warts can be managed by podofilox or Aldara cream.
 
Kwanza ni vizuri ukachunguzwa afya yako vizuri kwa sababu vinahusiana na HIV infection.

Mbona unamtisha mkuu? Warts inasababishwa na Human Papilloma Virus(HPV) wakati HIV inasababishwa na Human Immunodefficient Virus (HIV).Siyo kila aliye na warts ana HIV.

Kamili ume'jump into conclusion' haraka...Warts zinasababishwa na Human Papilloma Virus, ambao mara nyingi ni sexually transmitted, hivyo wanashare same risks as HIV, na hii ni sana sana kwa wanawake (huyu ni mwanaume). Huo ndio ukaribu pekee kati ya HPV na HIV. Si kila Warts au HPV infection basi iko associated na HIV.

Pili...kitabibu, si sahihi kumpa mtu ushauri mzito hivyo 'wazi' kweny thread hii, ungem-PM umshauri. Unaweza ukampa mtu/watu u-wendawazimu hapa, kwani naamini si GeorgeAllen tu mwenye tatizo la Warts kwenye hili jamvi.
 
Wandugu hebu kwanza mtufahamishe hi WARTIS iko vipi ni vile vinyama vinavyoota mwilini mbona tunatishana mana kama ni hiyo tukapime wengi jamani heeeeee HIV tena
 
Kwanza ni vizuri ukachunguzwa afya yako vizuri kwa sababu vinahusiana na HIV infection. Pili tiba yake inategemea ni vingi kiasi gani. Inategemea na wingi wake, vyaweza tibika na hiyo caustic pensil, au Podophylline au kama ni vingi sana hufanyiwa cauterization hospitalini.
Kama unatumia caustic pensil, naamini utakuwa umeelekezwa tahadhari ya jinsi ya kutumia. Baada ya kuchukua tahadhari hizo hakikisha ile caustic pensil unaituliza kwa dakika tatu kwa kila kimelea cha warts.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/281281-msaada-nahitaji-wakitaabu.html
 
Back
Top Bottom