Msaada nahitaji kuishitaki Serikali

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
9,647
12,212
ndugu zangu watanzania wenzangu kutokana na mwenendo mbovu wa serikali yetu yenye kutumia mabavu...serikali inayoshindwa kufuata misingi ya kidemokrasia...kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wa hali ya chini ndio tunao ubeba na kuupandisha uchumi wa nchi yetu...huku pakiwa na migodi mikubwa ya dhahabu...mito...na tumezungukwa na eneo kubwa la bahari bila kusahau mlima wa KILIMANJARO...ivi inakujia akilini leo mtanzania mwenye kipato cha chini kuchangia kodi ya pango...yani kwenye nchi yangu pakulala pia nipalipie? maji nilipie...umeme nilipie...sukari bei juu...chumvi nk....na kote huko tunakatwa makato...hivyo naomba vipengele muhimu vya kuzingatia ili niweze kuishitaki serikali kwani inatunyonya sana wananchi lasivyo watuambie madini wanapo yapeleka...kinachosababisha niwe na hamu ya kuishitaki hii serikali ni kutokana na mfumuko wa ushuru...hasa iki kitendo cha kulipia pango kinanikera sana...ebu angalia nimejenga nyumba kwa cement ya Tanzania...mabati ya Tanzania...misumari vyote vinatoka Tanzania sasa hiyo pango ya nini na ule ushuru niliolipia kwenye vifaa vya ujenzi umeenda wapi? nielewesheni maana hapa nilipo nimepagawa najikuta naichukia sana Tanzania nakosa amani na nchi yangu sijui nikaishi wapi maana ata nikijikwamua kwa mtaji wa nyanya na bamia bado mgambo watakuja kupiga teke bidhaa zangu...tuna mbuga kubwa za wanyama ambazo ni kivutio kikubwa sana kwa watalii fedha hizo zinaenda wapi?
wataalamu wa sheria nisaidieni sina mzaha hapo
 
Mkuu nakushauri ujifanye kipofu. Haya manidini milima, maziwa na mbuga za wanyama husizione.
Ukipuuza ushauri wangu utafungwa au kuchanganyikiwa.
Tanzania sio nchi salama ya kuishi watu hasa wenye uwezo mkubwa wa kufikilia (high thinking capacity)
Asante kwa ushauri wako umenipa uoga
 
roboti la matope nimependa kipande chako cha tz ni nchi hatari kwa watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria...na ni kweli..sijui tutakombolewa na nani kodi zinaongezeka kipato kinashuka m binafsi na biashara yangu bado ndogo lakini hzo kodi nadhani nitafunga very soon na nimeajiri watu watatu hawa wasiporudia enzi zao za ujambazi sijuiii....tuna tanzanite na mbuga za wanyama nahisi hizi tu zinaeza maliza shida zetu..achana na huo msururu wa resources zingine tulizo nazo na ambazo zinazidi gunduliwa....yaaaniiii
 
ndugu zangu watanzania wenzangu kutokana na mwenendo mbovu wa serikali yetu yenye kutumia mabavu...serikali inayoshindwa kufuata misingi ya kidemokrasia...kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wa hali ya chini ndio tunao ubeba na kuupandisha uchumi wa nchi yetu...huku pakiwa na migodi mikubwa ya dhahabu...mito...na tumezungukwa na eneo kubwa la bahari bila kusahau mlima wa KILIMANJARO...ivi inakujia akilini leo mtanzania mwenye kipato cha chini kuchangia kodi ya pango...yani kwenye nchi yangu pakulala pia nipalipie? maji nilipie...umeme nilipie...sukari bei juu...chumvi nk....na kote huko tunakatwa makato...hivyo naomba vipengele muhimu vya kuzingatia ili niweze kuishitaki serikali kwani inatunyonya sana wananchi lasivyo watuambie madini wanapo yapeleka...kinachosababisha niwe na hamu ya kuishitaki hii serikali ni kutokana na mfumuko wa ushuru...hasa iki kitendo cha kulipia pango kinanikera sana...ebu angalia nimejenga nyumba kwa cement ya Tanzania...mabati ya Tanzania...misumari vyote vinatoka Tanzania sasa hiyo pango ya nini na ule ushuru niliolipia kwenye vifaa vya ujenzi umeenda wapi? nielewesheni maana hapa nilipo nimepagawa najikuta naichukia sana Tanzania nakosa amani na nchi yangu sijui nikaishi wapi maana ata nikijikwamua kwa mtaji wa nyanya na bamia bado mgambo watakuja kupiga teke bidhaa zangu...tuna mbuga kubwa za wanyama ambazo ni kivutio kikubwa sana kwa watalii fedha hizo zinaenda wapi?
wataalamu wa sheria nisaidieni sina mzaha hapo
Kama alivyosema robot la matope katika kuchangia hoja hapo chini, nchi hii kuishitaki serikali ni sawa na Dodoma kuwa na waterfalls ghafla

Kiongozi wa Chama ndiye rais(mkuu wa serikali), ndiye anaemteua IGP atakae kukamata, ndiye anaemteua mkuu wa majeshi ili ajihakikishie ulinzi anapokutawala, ndie anaemteua jaji mkuu na majaji ili wahakikishe huchomoki katika kesi utakayo fungua, ndiye anaemteua DPP ili aamue lipi liende mahakamani lipi lisiende, ndie anaemteua m/kiti wa tume ya uchaguzi ili amtangaze mara baada ya uchaguzi irrespective of the results ili akutawale (serikali), ndiye anaemteua msajili wa vyama ili a dictate chama kipi kinavunja sheria na aidha kukifuta au kukionya, na ndie huyo huyo aliyemteua huyo kiongozi wa taasisi yenye kusimamia hizo kodi ambazo indeed deep down in his heart he knows its the walala hoi who pay the price but why he should care! He is safe....... and further he knows all these madini, mt k'njaro, bahari, mbuga za wanyama, tax avoidance co. Tourist tax base, ICD establishment which is ulaji and the list goes on

Sasa mkuu unataka kuishitaki hiyo serikali? ?????????? mimi, wewe, yule na wote wa kada yetu tutalipa tu na hatuna pakupigia kelele. Sisi hatukatai kulipa kodi lakini hizi nyingine mnatuumiza sana pls angalieni msitufanye hamnazo
 
ndugu zangu watanzania wenzangu kutokana na mwenendo mbovu wa serikali yetu yenye kutumia mabavu...serikali inayoshindwa kufuata misingi ya kidemokrasia...kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wa hali ya chini ndio tunao ubeba na kuupandisha uchumi wa nchi yetu...huku pakiwa na migodi mikubwa ya dhahabu...mito...na tumezungukwa na eneo kubwa la bahari bila kusahau mlima wa KILIMANJARO...ivi inakujia akilini leo mtanzania mwenye kipato cha chini kuchangia kodi ya pango...yani kwenye nchi yangu pakulala pia nipalipie? maji nilipie...umeme nilipie...sukari bei juu...chumvi nk....na kote huko tunakatwa makato...hivyo naomba vipengele muhimu vya kuzingatia ili niweze kuishitaki serikali kwani inatunyonya sana wananchi lasivyo watuambie madini wanapo yapeleka...kinachosababisha niwe na hamu ya kuishitaki hii serikali ni kutokana na mfumuko wa ushuru...hasa iki kitendo cha kulipia pango kinanikera sana...ebu angalia nimejenga nyumba kwa cement ya Tanzania...mabati ya Tanzania...misumari vyote vinatoka Tanzania sasa hiyo pango ya nini na ule ushuru niliolipia kwenye vifaa vya ujenzi umeenda wapi? nielewesheni maana hapa nilipo nimepagawa najikuta naichukia sana Tanzania nakosa amani na nchi yangu sijui nikaishi wapi maana ata nikijikwamua kwa mtaji wa nyanya na bamia bado mgambo watakuja kupiga teke bidhaa zangu...tuna mbuga kubwa za wanyama ambazo ni kivutio kikubwa sana kwa watalii fedha hizo zinaenda wapi?
wataalamu wa sheria nisaidieni sina mzaha hapo

Punguza hasira mkuu, nami nitakuunga mkono ktk hiyo kesi!
 
Kama alivyosema robot la matope katika kuchangia hoja hapo chini, nchi hii kuishitaki serikali ni sawa na Dodoma kuwa na waterfalls ghafla

Kiongozi wa Chama ndiye rais(mkuu wa serikali), ndiye anaemteua IGP atakae kukamata, ndiye anaemteua mkuu wa majeshi ili ajihakikishie ulinzi anapokutawala, ndie anaemteua jaji mkuu na majaji ili wahakikishe huchomoki katika kesi utakayo fungua, ndiye anaemteua DPP ili aamue lipi liende mahakamani lipi lisiende, ndie anaemteua m/kiti wa tume ya uchaguzi ili amtangaze mara baada ya uchaguzi irrespective of the results ili akutawale (serikali), ndiye anaemteua msajili wa vyama ili a dictate chama kipi kinavunja sheria na aidha kukifuta au kukionya, na ndie huyo huyo aliyemteua huyo kiongozi wa taasisi yenye kusimamia hizo kodi ambazo indeed deep down in his heart he knows its the walala hoi who pay the price but why he should care! He is safe....... and further he knows all these madini, mt k'njaro, bahari, mbuga za wanyama, tax avoidance co. Tourist tax base, ICD establishment which is ulaji and the list goes on

Sasa mkuu unataka kuishitaki hiyo serikali? ?????????? mimi, wewe, yule na wote wa kada yetu tutalipa tu na hatuna pakupigia kelele. Sisi hatukatai kulipa kodi lakini hizi nyingine mnatuumiza sana pls angalieni msitufanye hamnazo

Well said! Poor my country!
 
roboti la matope nimependa kipande chako cha tz ni nchi hatari kwa watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria...na ni kweli..sijui tutakombolewa na nani kodi zinaongezeka kipato kinashuka m binafsi na biashara yangu bado ndogo lakini hzo kodi nadhani nitafunga very soon na nimeajiri watu watatu hawa wasiporudia enzi zao za ujambazi sijuiii....tuna tanzanite na mbuga za wanyama nahisi hizi tu zinaeza maliza shida zetu..achana na huo msururu wa resources zingine tulizo nazo na ambazo zinazidi gunduliwa....yaaaniiii
sijui tufanyaje...maana vijana ndo hivyo tena tukithubutu kuongea tunazimwa kama taa
 
Kama alivyosema robot la matope katika kuchangia hoja hapo chini, nchi hii kuishitaki serikali ni sawa na Dodoma kuwa na waterfalls ghafla

Kiongozi wa Chama ndiye rais(mkuu wa serikali), ndiye anaemteua IGP atakae kukamata, ndiye anaemteua mkuu wa majeshi ili ajihakikishie ulinzi anapokutawala, ndie anaemteua jaji mkuu na majaji ili wahakikishe huchomoki katika kesi utakayo fungua, ndiye anaemteua DPP ili aamue lipi liende mahakamani lipi lisiende, ndie anaemteua m/kiti wa tume ya uchaguzi ili amtangaze mara baada ya uchaguzi irrespective of the results ili akutawale (serikali), ndiye anaemteua msajili wa vyama ili a dictate chama kipi kinavunja sheria na aidha kukifuta au kukionya, na ndie huyo huyo aliyemteua huyo kiongozi wa taasisi yenye kusimamia hizo kodi ambazo indeed deep down in his heart he knows its the walala hoi who pay the price but why he should care! He is safe....... and further he knows all these madini, mt k'njaro, bahari, mbuga za wanyama, tax avoidance co. Tourist tax base, ICD establishment which is ulaji and the list goes on

Sasa mkuu unataka kuishitaki hiyo serikali? ?????????? mimi, wewe, yule na wote wa kada yetu tutalipa tu na hatuna pakupigia kelele. Sisi hatukatai kulipa kodi lakini hizi nyingine mnatuumiza sana pls angalieni msitufanye hamnazo
Huo ndio ukweli wa mwisho.
 
Kama alivyosema robot la matope katika kuchangia hoja hapo chini, nchi hii kuishitaki serikali ni sawa na Dodoma kuwa na waterfalls ghafla

Kiongozi wa Chama ndiye rais(mkuu wa serikali), ndiye anaemteua IGP atakae kukamata, ndiye anaemteua mkuu wa majeshi ili ajihakikishie ulinzi anapokutawala, ndie anaemteua jaji mkuu na majaji ili wahakikishe huchomoki katika kesi utakayo fungua, ndiye anaemteua DPP ili aamue lipi liende mahakamani lipi lisiende, ndie anaemteua m/kiti wa tume ya uchaguzi ili amtangaze mara baada ya uchaguzi irrespective of the results ili akutawale (serikali), ndiye anaemteua msajili wa vyama ili a dictate chama kipi kinavunja sheria na aidha kukifuta au kukionya, na ndie huyo huyo aliyemteua huyo kiongozi wa taasisi yenye kusimamia hizo kodi ambazo indeed deep down in his heart he knows its the walala hoi who pay the price but why he should care! He is safe....... and further he knows all these madini, mt k'njaro, bahari, mbuga za wanyama, tax avoidance co. Tourist tax base, ICD establishment which is ulaji and the list goes on

Sasa mkuu unataka kuishitaki hiyo serikali? ?????????? mimi, wewe, yule na wote wa kada yetu tutalipa tu na hatuna pakupigia kelele. Sisi hatukatai kulipa kodi lakini hizi nyingine mnatuumiza sana pls angalieni msitufanye hamnazo
tutafanyaje sasa mzee mwenzangu au kuna haja ya kwenda mahakama za juu za kimataifa
 
ndugu zangu watanzania wenzangu kutokana na mwenendo mbovu wa serikali yetu yenye kutumia mabavu...serikali inayoshindwa kufuata misingi ya kidemokrasia...kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wa hali ya chini ndio tunao ubeba na kuupandisha uchumi wa nchi yetu...huku pakiwa na migodi mikubwa ya dhahabu...mito...na tumezungukwa na eneo kubwa la bahari bila kusahau mlima wa KILIMANJARO...ivi inakujia akilini leo mtanzania mwenye kipato cha chini kuchangia kodi ya pango...yani kwenye nchi yangu pakulala pia nipalipie? maji nilipie...umeme nilipie...sukari bei juu...chumvi nk....na kote huko tunakatwa makato...hivyo naomba vipengele muhimu vya kuzingatia ili niweze kuishitaki serikali kwani inatunyonya sana wananchi lasivyo watuambie madini wanapo yapeleka...kinachosababisha niwe na hamu ya kuishitaki hii serikali ni kutokana na mfumuko wa ushuru...hasa iki kitendo cha kulipia pango kinanikera sana...ebu angalia nimejenga nyumba kwa cement ya Tanzania...mabati ya Tanzania...misumari vyote vinatoka Tanzania sasa hiyo pango ya nini na ule ushuru niliolipia kwenye vifaa vya ujenzi umeenda wapi? nielewesheni maana hapa nilipo nimepagawa najikuta naichukia sana Tanzania nakosa amani na nchi yangu sijui nikaishi wapi maana ata nikijikwamua kwa mtaji wa nyanya na bamia bado mgambo watakuja kupiga teke bidhaa zangu...tuna mbuga kubwa za wanyama ambazo ni kivutio kikubwa sana kwa watalii fedha hizo zinaenda wapi?
wataalamu wa sheria nisaidieni sina mzaha hapo

Naunga mkono hoja mkuuu
 
ndugu zangu watanzania wenzangu kutokana na mwenendo mbovu wa serikali yetu yenye kutumia mabavu...serikali inayoshindwa kufuata misingi ya kidemokrasia...kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua watu wa hali ya chini ndio tunao ubeba na kuupandisha uchumi wa nchi yetu...huku pakiwa na migodi mikubwa ya dhahabu...mito...na tumezungukwa na eneo kubwa la bahari bila kusahau mlima wa KILIMANJARO...ivi inakujia akilini leo mtanzania mwenye kipato cha chini kuchangia kodi ya pango...yani kwenye nchi yangu pakulala pia nipalipie? maji nilipie...umeme nilipie...sukari bei juu...chumvi nk....na kote huko tunakatwa makato...hivyo naomba vipengele muhimu vya kuzingatia ili niweze kuishitaki serikali kwani inatunyonya sana wananchi lasivyo watuambie madini wanapo yapeleka...kinachosababisha niwe na hamu ya kuishitaki hii serikali ni kutokana na mfumuko wa ushuru...hasa iki kitendo cha kulipia pango kinanikera sana...ebu angalia nimejenga nyumba kwa cement ya Tanzania...mabati ya Tanzania...misumari vyote vinatoka Tanzania sasa hiyo pango ya nini na ule ushuru niliolipia kwenye vifaa vya ujenzi umeenda wapi? nielewesheni maana hapa nilipo nimepagawa najikuta naichukia sana Tanzania nakosa amani na nchi yangu sijui nikaishi wapi maana ata nikijikwamua kwa mtaji wa nyanya na bamia bado mgambo watakuja kupiga teke bidhaa zangu...tuna mbuga kubwa za wanyama ambazo ni kivutio kikubwa sana kwa watalii fedha hizo zinaenda wapi?
wataalamu wa sheria nisaidieni sina mzaha hapo
Kasome Katiba kwanza
 
Back
Top Bottom