Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Mkuu umefikiria jambo la maana sana kuuza unga wa dona ukizingatia maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa magumu kila siku nadhani dona itapata wateja wengi sana kuliko sembe c'se dona bei yake ni rahisi ukilinganisha na sembe, na ukila ugali wake tumbo litajaa muda mrefu .. hii itakuwa mkombozi wa walala hoi na wale wenye kufanya shughuli ngumu.
Kulingana na trend ya soko unaweza kusaga nafaka zingine kama mtama, ulezi etc then ukafanya packaging kama sembe na kuingia sokoni. Nilijaribu kununua ulezi na mtama dar aisee ni uhuni mtupu even though packaging ilikuwa nzuri sana (label ilikuwa "Mama Nora") wamechanganya na sembe. Nipo kwenye mchakato wa kufanya hii biashara miaka 2-3 ijayo
Kulingana na trend ya soko unaweza kusaga nafaka zingine kama mtama, ulezi etc then ukafanya packaging kama sembe na kuingia sokoni. Nilijaribu kununua ulezi na mtama dar aisee ni uhuni mtupu even though packaging ilikuwa nzuri sana (label ilikuwa "Mama Nora") wamechanganya na sembe. Nipo kwenye mchakato wa kufanya hii biashara miaka 2-3 ijayo