vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 420
Shenzi type kasome huko
Hivi nani hana akili? wewe unataka possible au aliekuambia kasome! ni dogo lako sawa! wewe kaka kilaza kweli! Mwambie asome! unamtafutia possible? alikuwa wapi asisome!? Wewe mwenye akili endelea kumwombe possible! mwambie asubiri atapata possible
Hivi nani hana akili? wewe unataka possible au aliekuambia kasome! ni dogo lako sawa! wewe kaka kilaza kweli! Mwambie asome! unamtafutia possible? alikuwa wapi asisome!? Wewe mwenye akili endelea kumwombe possible! mwambie asubiri atapata possible
Hivi nani hana akili? wewe unataka possible au aliekuambia kasome! ni dogo lako sawa! wewe kaka kilaza kweli! Mwambie asome! unamtafutia possible? alikuwa wapi asisome!? Wewe mwenye akili endelea kumwombe possible! mwambie asubiri atapata possible
Ukute we mwenyewe hapo unatumia cheti cha marehemuThis kind of reasoning is really disapointing.
Aisee, mbaki huko fb na twitter kama bado mnavalishwa nepi, mnafata nini huku??
Mnakera sana,
Hamuelewi hata mnaandika nini.
Mods plz remove this shameful thread.
Aibu hii mazee!! Nchi ya aina gani hii?
Na watu kama nyie njia yenu ni fupi, trust me, na huyu mwenzio unamtetea hatafanikiwa , yaani akijitahidi sana ana four ya 18.
Mimi nimesoma PCB 2010 na nlitusua na atleast naijua science. Anaumbuka huyu...
Kwani kutusua ndio kwenda Muhimbili pekee acheni majungu yenu kama hamna msaada pigeni chiniNani hawaonee wivu?kama hiyo PCB wenzako tulitusua kitambo kwa point kali tupo zetu MUHIMBILI.
na wewe utakuwa mmoja wao wa vilaza subiri paper liwafilimbe mpka mshike adabu na hawamu hii msitegemee kupata possible kabisa.
akili fupi kusoma hamsomi kazi kushinda fb mnajifanya mabishoo kichwani sifuri.
wenzenu waliosoma hawana presha wanasubiria kesho wakatusue mtihani
Waambie hao wamezidi kuponda utafikiri hata basi hiyo six wamefika, ukute wangine mangwini kisha wameondoka na Oumenikumbsha mbali sana, kpindi kileeeeeeeee, tulikuwa hatulali, ni kusaka possible nje ndani!!!
Lakini hawawezi wazidi upumbavu ambao kazi yao kufuatilia maisha ya wanaosaka possibleNyie mnaotaka possible ni wapumbavu sana
Sikuwahi kuzania watu wazima wanaofatilia maisha ya form 6 wanapatikana Jamii forumdaaah sikuwahi kuzania kuwa watoto wa form 6 wanaweza kupatikana Jamii forum
Ukute member kama wewe hata four hujagusaNdipo tulipofika hapa. Mtu anacheat kila hatua,matokeo yake tunalaumu vyuo vinatoa vilaza.
Nani kasema kuiba mtihani dogo anataka possible after all NECTA wenyewe hua wanazitoa hizo area of concentration ili wanafunzi wajipange zaidikusoma pcb ndio inamaanisha uibe mtihani?? ficha upuuzi wako wewe mtoto
Acheni ufala nani kasema Doctor of medicine as a 10 semesters with one year of interniship ina absolute relationship na PCBHahahaha PCB hawa si wataua wagonjwa hawa
Inaelekea wewe ndio fala sasa sababu ufala ndio tabia yako basi unadhani kila mtu ni fala kama wewe...Acheni ufala nani kasema Doctor of medicine as a 10 semesters with one year of interniship ina absolute relationship na PCB
Jenga hojaInaelekea wewe ndio fala sasa sababu ufala ndio tabia yako basi unadhani kila mtu ni fala kama wewe...
Kuhusu ufala wako au? Maana ndio kihoja ulichokuja nachoJenga hoja
N.b. Message sent and deliveredKuhusu ufala wako au? Maana ndio kihoja ulichokuja nacho
Samahani we ni ME au KEN.b. Message sent and delivered