Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

dantes steven

Member
Aug 25, 2012
11
1
Naombeni msaaada wana jamvi tafadaharini nimechaguliwa hii course pale udom kuhusu upatikanaji wa ajira uko vipi na inahusu nini hasa,
 
Ushauri mzuri ni wewe soma the uanzishe hizo ajira kwa kujiajiri ili uwasaidie vijana wenzako

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wewe, hakuna degree isiyo na soko Tanzania, lakini kuna wahitimu wasio na soko.

Soma kitu chochote unachokipenda, ulichopata fursa ya kukisoma na hata ambacho ulikuwa na ndoto nacho au hukuwa na ndoto nacho, jambo la msingi ujue vitu katika taaluma husika, swala la ajira wenda kwa kuajiriwa au kujiajiri litafanikiwa tu.
 
Wewe, hakuna degree isiyo na soko Tanzania, lakini kuna wahitimu wasio na soko.

Soma kitu chochote unachokipenda, ulichopata fursa ya kukisoma na hata ambacho ulikuwa na ndoto nacho au hukuwa na ndoto nacho, jambo la msingi ujue vitu katika taaluma husika, swala la ajira wenda kwa kuajiriwa au kujiajiri litafanikiwa tu.

nimekuelewa mkuu maana niliomba na diploma ya umeme but nashukuru kwa ushauri ntaenda soma
 
mkuu hiyo bis imechanganya kozi za it na za biashara.
Inatolewa udom tu na maranyingi inachukua watu wachache.
Sio ngumu ila kwa mazingira ya cive *colleg ya udom utakayoenda kusoma* yana changamoto sana,
disco ni za kumwaga, mfn mwaka jana watu 89 wali disco kati ya 1s to 2nd na 2nd to 3rd.
Unahitaji ukasome sana.
Kuhusu ajira usiwe na wasiwasi, ni wewe tu ufaulu vizuri na mambo uyajue.
 
mkuu hiyo bis imechanganya kozi za it na za biashara.
Inatolewa udom tu na maranyingi inachukua watu wachache.
Sio ngumu ila kwa mazingira ya cive *colleg ya udom utakayoenda kusoma* yana changamoto sana,
disco ni za kumwaga, mfn mwaka jana watu 89 wali disco kati ya 1s to 2nd na 2nd to 3rd.
Unahitaji ukasome sana.
Kuhusu ajira usiwe na wasiwasi, ni wewe tu ufaulu vizuri na mambo uyajue.

nimekuelewa homy itabidi nikakazane nashukuru sana kwa ushauri wako
 
systems analyst, consultant - kwa tz inachukuliwa kimzaha mzaha lakini kwa nchi zilizoendelea ni lazima uwe na experience ya si chini ya miaka 10, ni lazima uwe na background nzuri ya business, technical and most of all huwa inasomwa at postgraduate level
 
systems analyst, consultant - kwa tz inachukuliwa kimzaha mzaha lakini kwa nchi zilizoendelea ni lazima uwe na experience ya si chini ya miaka 10, ni lazima uwe na background nzuri ya business, technical and most of all huwa inasomwa at postgraduate level

sijakuelewa vizuri hapo kiongozi naombba nieleweshe vizuri kwamba kwa Tz haina dili au ni vipi nielekeze vizuri maana unayomaanisha
 
sijakuelewa vizuri hapo kiongozi naombba nieleweshe vizuri kwamba kwa Tz haina dili au ni vipi nielekeze vizuri maana unayomaanisha

hiyo imebase kwenye maswala ya uongozi wa IS kwahiyo ni ngumu sana kupata kazi au kujiajiri kwa fresh graduate labda upate kampuni za vichochoroni, first degree unatakiwa kuspecialize eneo moja lakini kwa hiyo course utakuwa unapapara kila mahali na mwisho wa siku utagraduate ukiwa mbovu kila angle
 
Hapo kwa ushauri wako mkuu maana niliomba na diploma ya umeme nikasome tu hiyo diploma au nakakomae nayo hiyo business informaxn system
 
Wewe, hakuna degree isiyo na soko Tanzania, lakini kuna wahitimu wasio na soko.

Soma kitu chochote unachokipenda, ulichopata fursa ya kukisoma na hata ambacho ulikuwa na ndoto nacho au hukuwa na ndoto nacho, jambo la msingi ujue vitu katika taaluma husika, swala la ajira wenda kwa kuajiriwa au kujiajiri litafanikiwa tu.

hapo mkuu nimekuxoma KABIXA NA NI KWELI
 
mkuu hiyo bis imechanganya kozi za it na za biashara.
Inatolewa udom tu na maranyingi inachukua watu wachache.
Sio ngumu ila kwa mazingira ya cive *colleg ya udom utakayoenda kusoma* yana changamoto sana,
disco ni za kumwaga, mfn mwaka jana watu 89 wali disco kati ya 1s to 2nd na 2nd to 3rd.
Unahitaji ukasome sana.
Kuhusu ajira usiwe na wasiwasi, ni wewe tu ufaulu vizuri na mambo uyajue.

iko muccobs pia
 
Naombeni msaaada wana jamvi tafadaharini nimechaguliwa hii course pale udom kuhusu upatikanaji wa ajira uko vipi na inahusu nini hasa,

Wadau mwenye kujua hii program inahusu nn na uwezekano wa kujiajir au kuajiriwa na mazingira yake kwa ujumla pale udom atiririke haf tuone
 
mkuu hiyo bis imechanganya kozi za it na za biashara.
Inatolewa udom tu na maranyingi inachukua watu wachache.
Sio ngumu ila kwa mazingira ya cive *colleg ya udom utakayoenda kusoma* yana changamoto sana,
disco ni za kumwaga, mfn mwaka jana watu 89 wali disco kati ya 1s to 2nd na 2nd to 3rd.
Unahitaji ukasome sana.
Kuhusu ajira usiwe na wasiwasi, ni wewe tu ufaulu vizuri na mambo uyajue.

ipo mzumbe pia
 
Kama Umepata huo mkopo na hio nafasi soma, kama hukupata ajira tanzania hata nje ya Tanzania zipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom