king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,629
- 2,043
Kuna kitu kinanitatiza ni kwa nini thread titles kwenye forum au new posts nyingine zinakuwa na wino mzito (bold) na wengine zinakuwa normal (hazina bold). Nahitaji kujua zenye bold mnafanyaje kwani thread title zangu huwa katika muonekano wa kawaida.