Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 308
Wadau nina akaunt katika benki moja hapa jijini Dar sasa kumekuwa na mchezo wa mtu kudeposit fedha kwenye account yangu pasipo mimi kumfahamu mtu huyo. Mara ya kwanza aliweka kama milioni 27, nilipoipata meseji nikamtafuta meneja wa benki nikamwelezea akadai fedha zimewekwa kwa local check, baadae zikawa zimetolewa lakini kwa mfumo wa kuzitransfer kwenye akaunt nyingine. wiki hii wameingiza kama milioni 15 hivi sasa nashindwa kuelewa nifanyeje kwani akaunti hiyo ni ya kibiashara, sheria zikoje hapo endapo nikichukuwa mzigo huo bila kumwona meneja Nawasilisha wakuu | |