maskio popo
Senior Member
- Sep 3, 2015
- 158
- 31
habar zenu ndg: kuna dada wa rafiki yangu ana mtoto amempata tangu mwezi wa 6 lakini mpaka leo mtoto huyo bado ni mchanga sana kama kazaliwa siku 5 zilizo pita amekuwa anasumbuka sana amejaribu kwenda hospital ya wilaya ya urambo wakampa majibu ya kuwa mtoto hana tatizo nimekuja hapa ili nipate ushauri wa kitaalam juu ya mtoto huyu. alizaliwa akiwa na uzito kilo 2 na glam 2 lakini mpaka leo miezi 5 ameongezeka glam 4 tu tafadhari tumsaidie huyu dada kwani ametengwa hadi mtu aliye mzalisha amebaki kulia na hana majibu juu ya mtoto wake. hana pesa ya matibabu lakini mimi nijitolea kumpa tsh 100.000 kama kwa ajili huduma ya mtoto wataalamu wa magonjwa ya watoto tafadhar tusaidieni tatizo hili. mwenyezi mungu awape busara na hekima katika michango ya mawazo na utaalamu wenu. NAWASILISHA