Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Laptop inawaka lakini kwenye screen zile shortcut hazionekani. Hakuna icon hata mmoja. Sioni namna yoyote ya kuweza kuaccess folders zangu. Nifanyeje jamani? Nimezima nakuwasha kama mara 70 ila ipo vile vile. Nisaidieni mwenzenu nina kazi ya kutype sahivi. Ahsante.