Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,746
Inabidi jion hii nikamuulize mamsap kama yeye nae ni memba wa JF maana kama aliyosema Faith yananigusa..LOL
....kaka ina maana hata ukimaliza majambozzz na shemeji huogi??? maana majambozz hufanyika jioni au usiku mara kedekede.
kuna rafiki yangu huwa akivaa soksi moja mpaka mwaka unaisha habadili na ukisimama karibu yake utapata bonge la sound la smell..... isije ikawa ndo wewe