Ashangedere
Senior Member
- Aug 9, 2010
- 119
- 31
Mwenzenu mume wangu cha wote, kitu iliyopelekea mimi kumchukia na kutotamani wala kufurahia chakula cha usiku kutoka kwake kwa muda wa miaka miwili, sasa katika pitapita zangu nikakutana na my first BF nimejaribu kumuavoid but chemistryyyyyy hainiachiiii. yani he is sweet mpaka natamani kusema yeeeeeeesss, but he is married ohhhhhhhhhh, nimekaaa chini nimehisi huyu ni shetani ananijia kwenye jambo nyeti hivi, wadau shetani kanishika kweli kweli naombeni msaada wa maombiiiiiiii aniachieeeee uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.