Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Toka ajifungue miaka miwili iliyopita amekuwa akishuhudia ongezeko kubwa la matiti yake mpaka inakuwa kero(sio kwake tu ht mm). Je kuna dawa za kupunguza matiti na kama zipo vipi kuhusu gharama zake na madhara yake?
Tafadhali mwenye ufahamu kuhusu hili anijuze.
Tafadhali mwenye ufahamu kuhusu hili anijuze.