Mimi ni mdada wa miaka 26 niko rombo kilimanjaro elimu yangu ni form six,nilikua nimeajiriwa na campuni moja jijini dar es salaam ila kutokana na matatizo ya kazini nimeacha kazi.kwa sasa niko home kilimanjaro wilaya ya rombo- mashati. Nimewaza nifanye biashara gani sipati jibu. Kati ya dar na rombo na sehemu zote nina sehemu ya kukaa bila kulipa kodi. Nisaidie tafadhali