Wana JF.
Naomba msaada wenu, kueleweshwa hatua kwa hatua na gharama zake ili kupata hati ya kumiliki nyumba/kiwanja.
Nimejenga maeneo ya Kimara na ninahitaji kupata hati.
Anayefahamu anisaidie ushauri.
Msaada tafadhali !
ila kule kijijini kwetu, unaenda kwenye serikali ya kijiji, unawalipa hela ya wajumbe.....250,000 {kila kichwa anakula kaduguda...... vipi vichwa 25} hizi ni posho ya kikao cha kukujadili....
then watakuandikia barua utaipeleka kwenye halmashauri husika, ila ukitka kupata jibu kwa usahihi nenda ofisi za halmashauri yako watakupa mchakato na gharama zake halali plus takrima....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.