Habari zenu wana JF.
Ninamtafuta rafiki yangu aitwae Safiuna Msuya. Alisoma Mapambano miaka ya 1994 - 2000 na atakuwa in her early/mid twenties kwa sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa pale stendi ya Mwenge (wakati huo, mama yake alikuwa mmiliki wa moja ya saluni za maeneo hayo). Any leads will be greatly appreciated.
Natanguliza shukrani.
Ninamtafuta rafiki yangu aitwae Safiuna Msuya. Alisoma Mapambano miaka ya 1994 - 2000 na atakuwa in her early/mid twenties kwa sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa pale stendi ya Mwenge (wakati huo, mama yake alikuwa mmiliki wa moja ya saluni za maeneo hayo). Any leads will be greatly appreciated.
Natanguliza shukrani.