Erick_Otieno
JF-Expert Member
- Mar 28, 2010
- 624
- 1,020
Hii laptop inapata moto sana, imepungua speed ya kufungua mafaili na kudownload, inagoma kuinstall antivirus na inavuma kwa sauti sana. Nimeitumia kwa miaka 4 sasa na ilikua safi kabisa, matatizo yameanza miezi mitatu iliyopita baada ya kuondoa kaspersky antivirus trial version. Nipeleka kwa mafundi wawili lakini tatizo bado lipo...wakuu naomba solution?