Msaada kwenye viwngo vya mkopo(universities)

Pejokiss

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
219
97
Wandug nmemaliza 4m6 na nategemea kujiunga na chuo kimojawpo ila mpaka cc huw naskia2 kuhsu aslmia za mkopo ila cjajua iyo asilimia 100,80 au 20 ni tsh ngapi na jins znavyotumika kulipia gharama za chuo hvyo naomba msaada jaman!
 
Kiasi cha gharama inategemea na programme utakayo pangiwa, kwa wale watakaopata asilimia mia watakopeshwa kiasi chote kinachotakiwa na chuo, but kwa wale watakaopata less than 100% i mean 90%, 80% and so on watachangia the remaining percentage katika school fee, also accomodation na hela ya matumizi wote wenye vigezo wanapata 100%.
 
Kwa uelewa wangu. Asilimia kwa upande wa mikopo zinakuwa katika upande wa tuition fee tu. Mf. Kama bodi ya mikopo imesema itakupatia mkopo kwa 90% inamaana watakupatia ada kiasi cha asilimia hizo. Ila upande wa accomodation,meals na stationery hivyo utolewa kwa usawa kwa wanafunzi wote wa elimu ya juu.
 
jamani naomba kujuzwa make inasikitisha sana kwamba kwa wale wenye ufaulu wa stahiki yaan equivalent qualifications wanaopewa mkopo ni wale2 watakao soma ualimu wa sayansi na hisabati wa fani zingine kama law.bba.pub na zilizobaki wote hawatapewa inasikitisha sana coz wengine hawawez kuafford kujilipia watoto wa mapeasants da tz inapoelekea ngoja 2015
 
jamani naomba kujuzwa make inasikitisha sana kwamba kwa wale wenye ufaulu wa stahiki yaan equivalent qualifications wanaopewa mkopo ni wale2 watakao soma ualimu wa sayansi na hisabati wa fani zingine kama law.bba.pub na zilizobaki wote hawatapewa inasikitisha sana coz wengine hawawez kuafford kujilipia watoto wa mapeasants da tz inapoelekea ngoja 2015
<br />
<br />
unadhani hiyo 2015 tutawafanya nini? maana mwaka jana tu! 2likuwa nao na hakuna tulichofanya zaidi ya kususia kupiga kura
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
unadhani hiyo 2015 tutawafanya nini? maana mwaka jana tu! 2likuwa nao na hakuna tulichofanya zaidi ya kususia kupiga kura
<br />
<br />
kwa hyo we unawasuport au?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kwa hyo we unawasuport au?
<br />
<br />
jamani hebu zungumzieni masuala ya mikopo,hayo 2015 yana mada zake.
Kwa hiyo katika io 7500,wamejumuisha na accomodation?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
jamani hebu zungumzieni masuala ya mikopo,hayo 2015 yana mada zake.<br />
Kwa hiyo katika io 7500,wamejumuisha na accomodation?
<br />
<br />
pigia mstari.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom