B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
wapendwa katika jinaa la bwanaa,ma bibi na mabwana...kuna tatizo linanisumbua kijana wenu,sijui niseme ni bahati au mkosi,mi na miaka 26 nimeshakuwa na usiano kama mara tano ila yote nuksi.tatizo ni hili nisiwachoshe...kilaa demu ninae taka kua nae nakutaa ana mtoto na mwanaume mwingine,yani sijaa bahatika kupata msichana ambae hana mtoto,demu nilie nae sasaa ana mtoto mmoja japo hakuniambia tulivyo juana ila alikuja kuniambia yeye ana mtoto ila hakai na mzazi mwenzie cse wameachana,nashindwa kujuaa niendelee nae au nimpige chini.