g.n.n
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 407
- 49
Habari wana jamvi.
Hapa nilipo ninahitaji msaada wa haraka wa mambo 2
1. Namna ya ku-unistall completely IDM from my computer kwa sababu mda wake wa kutumika umeisha. Nimejaribu kufanya un-installation ya kawaida kwa kuanza kwenye control panel mpaka kwenye ku-unistall nimeshidwa kuiondoa completely. Hivyo hapa nahitaji msaada wa maelekezo ya jinsi ya kuiondoa kabisa toka kwenye computer yangu.
2. Na la mwisho nahitaji IDM ambayo haitanisumbua baadae kama hii niliyo nayo sasa hivi.
Naamini kwamba hapa nitapata suluhisho.
:yawn:
Hapa nilipo ninahitaji msaada wa haraka wa mambo 2
1. Namna ya ku-unistall completely IDM from my computer kwa sababu mda wake wa kutumika umeisha. Nimejaribu kufanya un-installation ya kawaida kwa kuanza kwenye control panel mpaka kwenye ku-unistall nimeshidwa kuiondoa completely. Hivyo hapa nahitaji msaada wa maelekezo ya jinsi ya kuiondoa kabisa toka kwenye computer yangu.
2. Na la mwisho nahitaji IDM ambayo haitanisumbua baadae kama hii niliyo nayo sasa hivi.
Naamini kwamba hapa nitapata suluhisho.
:yawn: