Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Kipipi, ukisoma mtoa mada hajasema limemshinda,Kwanza tongozo litakushindaje mpaka unalihamishia kwa mpenzio??
ameuliza tu kama watu wanatakiwa kuambiana.
Mi nadhani kila couple ina makubaliano mbalimbali
wengine wanaona ni sawa, wengine wanaona sio sawa. Hayo ya kusema umshtaki mtongozaji kwa mumeo
yameletwa na Mkuu Fazaa. Mi sidhani kama ni solution. Utashindwaje kumkatalia mwanaume anae kutongoza?
Na utamwambiaje mume wako/mpenzi wako akaongee nae?
Mpenzi wako is a special person, hatakiwi kujichanganya na kila mwanaume huko nje.
Hujui kuna wanaume wanaona sifa just because unaonekana ulishindwa nguvu na kumshirikisha mpenzi wako?