wakuu kwa mwenye kuweza kunisaidia idadi halisi ya vyama vya siasa tanzania pamoja na majina yake kwa mwaka huu 2011 naomba anisaidie.
jana nilimsikia wasira akisema viko 19, kwenye daftari latendwa, majina
1. Ccm
2. Chadema
3. Cuf
4. Tlp
5. Tpp-maendeleo
6. Nccr-maguzi
7.Appt-maendeleo
8.Narea
9.Tadea
10.
Endelea
Mkuu nashukuru, nimeongezea vyama kadhaa hapo.. Ngoja nisubiri wengine wajalizie.
Ubarikiwe ndugu.