Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Msaada kwenye tuta:damu itamwagika! wasema wana CCM
Swali, Hivi Viongozi wa chadema kusema
- Kutokana na hali mbaya inayowakabili wa Tz, hizo pesa zisilipwe inahusiana vipi na damu kumwagika?
- Hivi, CDM wakisema hali ya maisha ya watu wa kawaida imekuwa ngumu kuliko kawaida, inahusiana vipi na damu kumwagika?
- Watanzania kujua hali zao na haki zao, ina mahusiano gani na hizo damu?
nisaidie serikali kujibu: semeni hivi:
- Viongozi wote wa serikali walio husika na mikataba mibovu, watakamatwa na kufunguliwa mashita.
- BOT kwa kushirikiana na wizara ya fedha na uchumi wanaangalia uwezekano wa kushusha inflation kwa asilimia 30.
- Walanguzi wote watachukuliwa hatua. Nakuhakikishia mkwele ukijibu angalau hivyo, maandamano ya CDM yatakosa watu. kulalamika hakutasaidia.
Wataalam twambie kisayansi damu itatokea wapi wakati yanayosemwa ni ukweli mtupu?