jacket
Member
- Nov 26, 2011
- 7
- 4
Please wenye ujuzi wa uingizaji magari used toka Japan naomba msaada wenu......gharama za uingizaji tanzania huwa ngapi(approximate).....(mpaka gari linakuwa barabarani)??? mf. CIF+INSPECTION COST=2350 USD>>>>Hii ni kwa gari aina ya Ford-Fiesta la mwaka 2004, cc 1600. Natanguliza shukurani zenu!!!