Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Jaman mwenzen mimi niko Dom sasa nimepata mke hukoo Hukoooo Uziguani
sasa leo shangazi mtu anakuja kupanga mahali,
sasa sisi upande wetu hatujui nini kinahitajika maana familia yangu hakuna anayejua mila za huko kuwa nini wanadai upande wa mke
mfano: blanket,mkongojo wa babu, kanga za bib nk..
Sasa nisaidien kwa tanga
sasa leo shangazi mtu anakuja kupanga mahali,
sasa sisi upande wetu hatujui nini kinahitajika maana familia yangu hakuna anayejua mila za huko kuwa nini wanadai upande wa mke
mfano: blanket,mkongojo wa babu, kanga za bib nk..
Sasa nisaidien kwa tanga