Kijana usilazimishe rangi ya coca cola ifanane na ya fanta. Siku zote utavaa suluari ya saiz yako. Dogo kama umepiga fresh kasome udsm achana na vyuo vya mafisadi.Acha kupandikiza mawazo hasi,kwani vyuo vingine vina nini!acha ubabaishaji kwenye masuala ya elimu!