Msaada:Kwa walisosoma Bachelor of Science in Civil Engineering

ProBook

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
558
257
Kwa brothers and sisters mliosoma hiyo course hapo juu nlikuwa naomba kuuliza kitu kuhusu hiyo course sababu nimeona kwa UDSM na Ardhi ni miaka 4 lakini kwa St Agustine ni miaka 3,sasa nlitaka kujua je kuna ubora tofauti wa ufundishaji kutoka kwenye hivyo vyuo na je kama kuna utofauti chuo kipi ni bora zaidi kati ya vyote na soko la ajira kwa hiyo course likoje,,
Asanteni sana
 
Kwa nijuavyo miaka 3 ni kama una Full Technician Certificate(FTC) or diploma NTA Level6 from technical colleges eg DIT,ATC or MIST na hiyo miaka 4 ni kama umetokea A-level!
 
Kwa nijuavyo miaka 3 ni kama una Full Technician Certificate(FTC) or diploma NTA Level6 from technical colleges eg DIT,ATC or MIST na hiyo miaka 4 ni kama umetokea A-level!

aisee kaka kwenye kitabu cha TCU cha mwaka huu chuo cha St Agustine wametoa qualifications kwa waliomaliza diploma na advance na wote ni miaka 3
 
We kapge civil ya udsm au ardhi ndo za ukweli dogo.
 
hii ni sawa na kulinganisha Shule ya Sekondari ya Kata na Shule Kongwe!
Vichwa wanajua wanapaswa kuwa wapi,
Kilazaaa...!
 
Mkuu Kijamba Koti sijakusoma eti! hizo nyota manake nn?
hata hivo sikushangai make hata jina lako tu na umri ndani ya JF
vinatia mashaka!
unahitaji kusuguliwa "JICHO" lako la nyuma!

Yaani wewe ni mpuuzi wa mwisho,hakuna hata msaada uliomsaidia dogo hapo zaidi ya kutoa kauli za kujiproud tu!
 
Acha kupandikiza mawazo hasi,kwani vyuo vingine vina nini!acha ubabaishaji kwenye masuala ya elimu!

toka lini tanzania na marekani zikawa sawa kimaendeleo!dogo anaambiwa ukweli,we unaleta chuki humu.
 
Mbona mnatukanana jamani,siyo tabia nzuri hii wapendwa!Kuhusu mada,ndugu yangu nenda Ardhi,UDSM utaishia kuuza sura tu!
 
Dogo Civil Engg ina future nzuri,piga Btech ya Civil halafu angalia utakavyouza...Utaringa mwenyewe wapi pa kwenda...I dnt care where u go bt Btech is goodAlways Engineers Build the World.....
 
Dogo Civil Engg ina future nzuri,piga Btech ya Civil halafu angalia utakavyouza...Utaringa mwenyewe wapi pa kwenda...I dnt care where u go bt Btech is goodAlways Engineers Build the World.....

thanx sana bro..
 
Mkubwa!....asikudanganye mtu,nenda kapige hiyo course.Ila tu kuhusu swali lako,hiyo ya miaka mitatu ni kwale walio na diploma civil engineering.na kwa wale waliotoka A Level hupiga miaka 4.narudia tena,kapige hiyo corse uje ule kuku,ukianza ni Pm nikuchangie ya stationary japo kidogo
 
Mkubwa!....asikudanganye mtu,nenda kapige hiyo course.Ila tu kuhusu swali lako,hiyo ya miaka mitatu ni kwale walio na diploma civil engineering.na kwa wale waliotoka A Level hupiga miaka 4.narudia tena,kapige hiyo corse uje ule kuku,ukianza ni Pm nikuchangie ya stationary japo kidogo

poa poa kaka nimekusoma sana thanx a lot,,let me apply hiyo bila kuchelewa
 
Kwa brothers and sisters mliosoma hiyo course hapo juu nlikuwa naomba kuuliza kitu kuhusu hiyo course sababu nimeona kwa UDSM na Ardhi ni miaka 4 lakini kwa St Agustine ni miaka 3,sasa nlitaka kujua je kuna ubora tofauti wa ufundishaji kutoka kwenye hivyo vyuo na je kama kuna utofauti chuo kipi ni bora zaidi kati ya vyote na soko la ajira kwa hiyo course likoje,,
Asanteni sana
Kula shortcut ya 3yrs SAUT.
 
mdogo Wangu,karibu sana udsm na hasa koz hyo ya ce ndo chagua sahih,mim pia naxoma hyo koz ndo namalizia 4th year,.ardh wanakuja ku2mia lab za ud na vitu kbao wanategemea hapa kwetu.jaza udsm dogo bt kaza msuli..kila la her mhandisi mtarajiwa
 
mdogo Wangu,karibu sana udsm na hasa koz hyo ya ce ndo chagua sahih,mim pia naxoma hyo koz ndo namalizia 4th year,.ardh wanakuja ku2mia lab za ud na vitu kbao wanategemea hapa kwetu.jaza udsm dogo bt kaza msuli..kila la her mhandisi mtarajiwa

asante sana kaka tupo pamoja sanaa...
 
Back
Top Bottom