tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
Wadau, mimi ni mwalimu wa cheti (grade IIIA) niliyehitimu june mwaka jana, kama mjuavyo mpaka sasa hatujui ni lini tutapata ajira za serikali.
kutokana na ukata, nimeamua kuwa mpiga picha (camera man) hapa kijijini nanjilinji, katika pitapita zangu za kusaka wateja nimekutana na hili tangazo la kupiga picha za passport za watahiniwa kidato cha IV 2012, kusema kweli vigezo vyote natimiza ili niweze kupewa hii dili na mwl mkuu ukizingatia mimi ni ex-student wa hapa, ila katika hili tangazo sehemu ya namba 1 (b) (c) na (d) inanitatiza nashindwa kuelewa kama inapatikana kwene setting za camera au kwenye computer wakati wa kuprint....
naombeni msaada kwa wanaojua mambo ya pixel na resolution
kutokana na ukata, nimeamua kuwa mpiga picha (camera man) hapa kijijini nanjilinji, katika pitapita zangu za kusaka wateja nimekutana na hili tangazo la kupiga picha za passport za watahiniwa kidato cha IV 2012, kusema kweli vigezo vyote natimiza ili niweze kupewa hii dili na mwl mkuu ukizingatia mimi ni ex-student wa hapa, ila katika hili tangazo sehemu ya namba 1 (b) (c) na (d) inanitatiza nashindwa kuelewa kama inapatikana kwene setting za camera au kwenye computer wakati wa kuprint....
naombeni msaada kwa wanaojua mambo ya pixel na resolution