Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Shem yaishe! mimi siujui ugomvi kbs! peace and love!
Watu kama nyie huwa mnaishi maisha marefu.Nimekubali,peace & love.
Shem yaishe! mimi siujui ugomvi kbs! peace and love!
Watu kama nyie huwa mnaishi maisha marefu.Nimekubali,peace & love.
Nimeshayamaliza nimemwaomba msamaha nikigombana na shemu nagombana na wewe pia which I cant afford u kno wora I mini?
Yeah I noo wara ya mean. Now lets go back to the perimeter before its too late! Hahahaha!
Nimeshayamaliza nimemwaomba msamaha nikigombana na shemu nagombana na wewe pia which I cant afford u kno wora I mini?
hehehehe!umenikumbusha yule m'beba ma-nanihii wa juz pale kijiweni!ooh sorry,hivi nipo out of phase?hapana
Watu kama nyie huwa mnaishi maisha marefu.Nimekubali,peace & love.
hehehehe!umenikumbusha yule m'beba ma-nanihii wa juz pale kijiweni!ooh sorry,hivi nipo out of phase?hapana
habari zenu kwa wote!mimi newcomer kwenye blog hii ya jamii,lakini ni mpenzi wa blogu hii siku nyingi nisiongeee mengi,wajasilimali nilikuwa naomba ideas tofauti za kibiashara nilikuwa nafikiria siku moja nitaanzaa biashara ya export/import kutoka UK kwenda TANZANIA labda mngenisaidia ni bidhaa gani kutoka nyumbani kuja UK na kutoka UK kuja bongo ambazo ni marketable na supplier sio wengi.....ahsanteni.
Nisamehe bure mwenzio!Kila siku nakuambiaga usipende kutoa siri za ndani we hunisikiagi! Kwa nini lakini mchumba?
Sasa jamani mbona mnadiscuss kitu ambacho huyu jamani ajauliza au kama vp mjibuni then muendelee na mada nyingine, ukiona mtu kaandika hapa kuomba msaa ujue ni kweli ana shida. Pamoja sana wana JF
Tusamehe Bosi,Lakini ndio raha yenyewe wakati mwingine.ila haturudiiSasa jamani mbona mnadiscuss kitu ambacho huyu jamani ajauliza au kama vp mjibuni then muendelee na mada nyingine, ukiona mtu kaandika hapa kuomba msaa ujue ni kweli ana shida. Pamoja sana wana JF
lakini sipo mbali sana na mada.kwasababu mwenzao yupo hapa tulikula nae sana maji pale ki-stone NI MJASILIAMALI mzuri tu.na ukweli tunamshauri vizuri tu.tehe tehe tehe,shemeji vip unaipata key hapo,tuanze kurecord track?Hahaha hii ndio out of key by 100% Wakiamka wale jamaa, tunalo wapwa.
lakini sipo mbali sana na mada.kwasababu mwenzao yupo hapa tulikula nae sana maji pale ki-stone NI MJASILIAMALI mzuri tu.na ukweli tunamshauri vizuri tu.tehe tehe tehe,shemeji vip unaipata key hapo,tuanze kurecord track?
chrispin, nguli, ziondaughter, geoff.....
Acheni usx-ngx
jamaa kaanzisha thread yake nyinyi kama kina nani mje hapa kuharibu, kama zipi anzisheni thread yenu, au tumianeni pm, no inakera.
Chrispin, Nguli, Ziondaughter, Geoff.....
Acheni usx-ngx
Jamaa kaanzisha thread yake nyinyi kama kina nani mje hapa kuharibu, kama Vipi anzisheni thread yenu, au tumianeni PM, NO INAKERA.
kwa leo naomba nimuweke kiporo!ila kama anataka tuwasiliane zaidi milango ipo wazi kwa pmIwapo X = E! Lol! Hivi hospitali ya Mirembe iko wapi vile? Kuna mtu anahitaji tiba humu ndani.
Chrispin, Nguli, Ziondaughter, Geoff.....
Acheni usx-ngx
Jamaa kaanzisha thread yake nyinyi kama kina nani mje hapa kuharibu, kama Vipi anzisheni thread yenu, au tumianeni PM, NO INAKERA.
kwa leo naomba nimuweke kiporo!ila kama anataka tuwasiliane zaidi milango ipo wazi kwa pm
Kwani huyo ms-x ng-x ni he au she?