Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
Hi wanafamily wa JF!!
Plz, nataka kuweka Umeme wa jua kwa kibanda yangu, loc- Mbezi Temboni Dsm, iwe na uwezo wa kuwasha bulb za wts 40 or less idadi 8, kucharge simu, kutumia Laptop and if possible kuwasha ka-fridge kadogooo.
Plz, wataalam Techn hii naomba mnipe estimate ya gharama ya kazi hiyo and may be wapi naweza pata mafundi wa kuifanya kazi hiyo.
Thnx in advance vile najua JF ni kama ENCYLOPIDIA!!
Plz, nataka kuweka Umeme wa jua kwa kibanda yangu, loc- Mbezi Temboni Dsm, iwe na uwezo wa kuwasha bulb za wts 40 or less idadi 8, kucharge simu, kutumia Laptop and if possible kuwasha ka-fridge kadogooo.
Plz, wataalam Techn hii naomba mnipe estimate ya gharama ya kazi hiyo and may be wapi naweza pata mafundi wa kuifanya kazi hiyo.
Thnx in advance vile najua JF ni kama ENCYLOPIDIA!!