Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
mie ishu yangu kubwa na huyu dada ni kwamba alishindwa kusoma alama za nyakati, kulikuwa na ulazima gani kumwambia huyo mwizi mwenzie kwamba mimba ni yake?
Hamjambo wapendwa, hope wote mmeamka bien, kwa wagonjwa na matatizo mbalimbali poleni. Leo nimepata kisa kimenitatiza kidogo naomba kushare nanyi wapendwa tumsaidie huyu ndugu. Huyu mkaka amezaa na mke wa mtu bila mume kujua na wote wanaendelea kumtunza mtoto sasa ana umri wa miaka mitano. Tatizo mdada anaogopa kusema ukweli kulinda ndoa yake, na mkaka (mwizi) anataka atambulike kwa mwanae japo na yeye ana mke.Mke wa mwizi keshaelezwa kuna mtoto nje kakubaliana na hilo japo hajui ni wapi/ kwa nani. Na familia ya mdada inajua kila kitu.Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
ngoja nimuulize , ntarudi. Ila mdada anafahu mapito yake.
Mbu acha kabisa kibaya dada ndoani ana watoto 4 plus huyu wa mkaka. Sa hizi ana kachanga 5 months.
Hahhaha
Unajua chanzo cha cheating kwenye ndoa?..............Ni kimoja tu: Pale Malaya wa kiume anapooa na changudoa wa kike anapoolewa!
Hatari sana hii!
mie ishu yangu kubwa na huyu dada ni kwamba alishindwa kusoma alama za nyakati, kulikuwa na ulazima gani kumwambia huyo mwizi mwenzie kwamba mimba ni yake?
mie naomba kujua kama walipanga kabisa wazae au ni mdada alishika mimba akaona afanye wema kumwambia huyo mkaka kwamba ni mimba yake?...hili game bwana, hapo kaka akija kumchukua mwanae mume ndio anajua ukweli wa mambo baada ya kumtunza mtoto kwa muda wote huo, ndoa inakufa mume nae anaweka hadharani alionao huo nje sema alikuwa anamlindia mkewe heshima acjue....hahahaha
Umuulize nani sasa?
Mimalaya kama hiyo unaweza kuta hata hilo jamaa linalotamba kutaka kumwona mwanaye ukute wala siyo mwanawe!!
Amini amini nawaambieni: Mwanamke anayetoka nje ya ndoa hatoki na mwanaume mmoja! Halijatosheka na mmewe litatosheka kwa huyo mmoja wa nje?.....Liambieni hilo lidume lisijishongondoe, labda hata yeye si mwanaye akalishwa kibudu!
Kina mama acheni kujiharibia sifa zenu nzuri za uaminifu....Tulioruhusiwa kutoka nje ya ndoa zetu ni wanaume pake yetu!
Anabadilisha kama nguo.
This time wa mume halali
Ha ha mbavu zangu Asprin...ila sidhani kama hii ni applicable kwa wanandoa wote!!..hata wewe na mama naniii utasemaje??!!..Hatari sana kweli
Game la masaa kadhaa likuvurugie mipango ya maisha hivi jamani kama hawa wezi??no way, walizidi na hakika wapate wanachostahili hamna zaidi!!!
Hapa naona dada yangu ameshakasirika.
Mshiki nimekumisi upeo.
Umuulize nani sasa?
Mimalaya kama hiyo unaweza kuta hata hilo jamaa linalotamba kutaka kumwona mwanaye ukute wala siyo mwanawe!!
Amini amini nawaambieni: Mwanamke anayetoka nje ya ndoa hatoki na mwanaume mmoja! Halijatosheka na mmewe litatosheka kwa huyo mmoja wa nje?.....Liambieni hilo lidume lisijishongondoe, labda hata yeye si mwanaye akalishwa kibudu!
Kina mama acheni kujiharibia sifa zenu nzuri za uaminifu....Tulioruhusiwa kutoka nje ya ndoa zetu ni wanaume pake yetu!
hebu hukoo muone vile.... na cku hizi wamama wamechachamaa kweli kweli nani anataka ma stroke ya kujitakia, wewe unafanya hadharani mama matesha anajua kwamba una eliza yeye anafanya gizani bila wewe kujua, cku ukijua ni booom!haya mnayataka nyie wanaume...
Umuulize nani sasa?
Mimalaya kama hiyo unaweza kuta hata hilo jamaa linalotamba kutaka kumwona mwanaye ukute wala siyo mwanawe!!
Amini amini nawaambieni: Mwanamke anayetoka nje ya ndoa hatoki na mwanaume mmoja! Halijatosheka na mmewe litatosheka kwa huyo mmoja wa nje?.....Liambieni hilo lidume lisijishongondoe, labda hata yeye si mwanaye akalishwa kibudu!
Kina mama acheni kujiharibia sifa zenu nzuri za uaminifu....Tulioruhusiwa kutoka nje ya ndoa zetu ni wanaume pake yetu!
Sasa BJ unacheka nini wakati wenzako huko wanazalishana...mme wa mtu kwa mke wa mtu......Damn! Hivi nani katenda kosa kubwa zaidi hapo?
Sasa BJ unacheka nini wakati wenzako huko wanazalishana...mme wa mtu kwa mke wa mtu......Damn! Hivi nani katenda kosa kubwa zaidi hapo?
....mnh! Nyamayao, wanawake wengi husema "ukweli" linapokuja suala hili.
Wengine hufikia hata kuwaambia"ukweli" wanaume wengine wawili - watatu iwapo
hana uhakika ni yupi 'aliyetumbukiza mpira kimiani.'
Mimi nikitokana Eliza, naye atoke na kisharobaro chake, hiyo angalau inalipa kuliko kwenda kuvamia ndoa za watu wengine...hata shetani hapendi kudadadeki!
Huyu jamaa angekuwa amemmimbisha baamedi, hii kesi isingekuwa kompliketed namna hii...