Nimedownload bbm kwenye cm yangu lakini cjui kuchat wala kufanya chochote,,,,, zaidi naishia tu kwenye facebook..... Naomba msaada maanacjawahi kuchart wala kutumia bbm......tafadhali sana nisaidieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.